Idara ya usalama wa Taifa ni chombo cha mauaji? Ilihusika vipi na vifo vya marehemu Horace Kolimba, Profesa Kighoma Ali Malima na Mzee Mahimbo? Kwa nini imeshindwa kuwadhibiti mafisadi, wauzaji wa madawa ya kulevya, wahujumu uchumi na wahalifu wengine nchini? Kwa nini wananchi wamekosa imani na idara hii? Je chombo hiki bado kinahitajika katika Tanzania ya leo? Mwandishi Godwin Chilewa anajibu maswali hayo pamoja na mengine mengi.
"synopsis" may belong to another edition of this title.
Bw. Godwin Chilewa alizaliwa wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro. Alipata elimu ya msingi katika shule ya msingi Kichangani iliyopo mjini Kilosa na baadae katika shule ya sekondari Kibasila iliyopo jijini Dar es Salaam. Bw. Godwin amehitimu stashahada ya upelelezi kutoka School of Criminal Investigation (USA), shahada ya uongozi katika chuo kikuu cha Ashworth, shahada ya Saikolojia kutoka University of Houston Downtown, na shahada ya uzamili (MBA) kutoka Devry University Houston, Texas
"About this title" may belong to another edition of this title.
Seller: BargainBookStores, Grand Rapids, MI, U.S.A.
Paperback or Softback. Condition: New. Idara YA Usalama Wa Taifa: Ni Chombo Cha Mauaji? 0.5. Book. Seller Inventory # BBS-9780692364017
Quantity: 5 available
Seller: THE SAINT BOOKSTORE, Southport, United Kingdom
Paperback / softback. Condition: New. This item is printed on demand. New copy - Usually dispatched within 5-9 working days 127. Seller Inventory # C9780692364017
Quantity: Over 20 available